Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Malaika wa Yehova anapiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa,+

      Na yeye huwaokoa.+

  • Danieli 3:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nebukadneza akajibu na kusema: “Abarikiwe Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego,+ aliyemtuma malaika wake+ na kuwaokoa watumishi wake waliomtegemea,+ na ambao walibadili neno la mfalme na kutoa miili yao, kwa maana hawakutumikia kamwe+ wala kuabudu+ mungu yeyote mwingine ila Mungu wao wenyewe.+

  • Danieli 6:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mungu wangu mwenyewe+ alimtuma malaika+ wake na kufunga vinywa vya simba,+ nao hawakuniangamiza, kwa kuwa nimeonekana kuwa mtu asiye na hatia mbele zake;+ na pia mbele yako, Ee mfalme, mimi sijafanya tendo lolote lenye kudhuru.”+

  • Waebrania 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Je, wao wote si roho+ kwa ajili ya utumishi wa watu wote,+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi+ wokovu?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki