Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Kuna majuma 70 ambayo yameamuliwa juu ya watu wako+ na juu ya jiji lako takatifu,+ ili kukomesha makosa,+ na kumaliza kabisa dhambi,+ na kufanya upatanisho kwa ajili ya kosa,+ na kuleta uadilifu mpaka wakati usio na kipimo,+ na kupiga muhuri+ juu ya maono na nabii, na kupatia mafuta Patakatifu pa Patakatifu.+

  • Luka 24:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 na kwa msingi wa jina lake toba kwa msamaha wa dhambi+ ingehubiriwa katika mataifa yote+​—⁠kuanzia Yerusalemu,+

  • Matendo 5:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba+ na msamaha wa dhambi.+

  • Matendo 10:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Kwake yeye manabii wote hutoa ushahidi,+ kwamba kila mtu anayemwamini hupata msamaha wa dhambi kupitia jina lake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki