Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mika 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Walio vichwa vyake hutoa hukumu ili wale rushwa+ tu, na makuhani wake hufundisha ili tu wapate malipo,+ na manabii wake hufanya uaguzi ili tu wapate pesa;+ hata hivyo wao huendelea kujiegemeza kwa Yehova, wakisema: “Je, Yehova hayuko katikati yetu?+ Hakuna msiba utakaotupata.”+

  • Mathayo 23:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Ole wenu ninyi, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! kwa sababu ninyi huitoa sehemu ya kumi+ ya mnanaa na dili na bizari, lakini mmepuuza mambo mazito zaidi ya Sheria, yaani, haki+ na rehema+ na uaminifu.+ Ilikuwa lazima kuyafanya mambo haya, na bado kutopuuza yale mambo mengine.

  • Luka 11:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Ndipo akasema: “Ole wenu pia ninyi mlio na ujuzi mwingi wa Sheria, kwa sababu ninyi huwatwika watu mizigo iliyo mizito kubebwa, lakini ninyi wenyewe hamwigusi mizigo hiyo kwa kimoja cha vidole vyenu!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki