11 Ndipo Naamani akaudhika,+ akaanza kwenda zake na kusema: “Tazama, nilikuwa nimesema moyoni mwangu,+ ‘Atakuja nje kabisa kwangu na kwa hakika atasimama na kuliitia jina la Yehova Mungu wake, na kutikisa mkono wake huku na huku juu ya mahali pale, na kumponya mwenye ukoma.’