1 Wafalme 18:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Watu wote walipoona jambo lile, wakaanguka kifudifudi+ mara moja, na kusema: “Yehova ndiye Mungu wa kweli! Yehova ndiye Mungu wa kweli!” Yohana 3:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Yule ambaye ameukubali ushahidi wake ametia muhuri wake juu ya huo kwamba Mungu ni wa kweli.+ Yohana 8:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nina mambo mengi ya kusema juu yenu na kutoa hukumu juu ya mambo hayo. Kwa hakika, yule aliyenituma ni wa kweli, na mambo yale niliyoyasikia kutoka kwake ninayasema ulimwenguni.”+
39 Watu wote walipoona jambo lile, wakaanguka kifudifudi+ mara moja, na kusema: “Yehova ndiye Mungu wa kweli! Yehova ndiye Mungu wa kweli!”
26 Nina mambo mengi ya kusema juu yenu na kutoa hukumu juu ya mambo hayo. Kwa hakika, yule aliyenituma ni wa kweli, na mambo yale niliyoyasikia kutoka kwake ninayasema ulimwenguni.”+