16 “Kwa maana Mungu aliupenda+ ulimwengu sana hivi kwamba akamtoa Mwana wake mzaliwa-pekee,+ ili kila mtu anayemwamini+ asiangamizwe+ bali awe na uzima wa milele.+
9 Kwa hili upendo wa Mungu ulifunuliwa kwa habari yetu,+ kwa sababu Mungu alimtuma Mwana+ wake mzaliwa-pekee kuja ulimwenguni ili tupate uzima kupitia yeye.+