20 Ikiwa mlikufa+ pamoja na Kristo kuelekea mambo ya msingi+ ya ulimwengu,+ kwa nini ninyi, kana kwamba mnaishi katika ulimwengu, mnazidi kujitiisha chini ya amri hizi:+
24 Yeye mwenyewe alichukua dhambi+ zetu katika mwili wake mwenyewe juu ya mti,+ ili tuachane kabisa na dhambi+ na kuishi kwa uadilifu. Na “kwa mapigo yake mliponywa.”+