2 “Semeni na moyo wa Yerusalemu+ na kumwambia kwamba utumishi wake wa kijeshi umetimizwa,+ kwamba kosa lake limelipwa.+ Kwa maana kutoka mkononi mwa Yehova amepokea hesabu kamili kwa ajili ya dhambi zake zote.”+
41 Nasi, kwa kweli, tuko hivyo kwa haki, kwa maana sisi tunapokea kwa ukamili kile tunachostahili kwa mambo tuliyofanya; lakini mtu huyu hakufanya jambo lolote lisilofaa.”+
39 na kwamba kutokana na mambo yote ambayo ninyi hamngeweza kutangazwa kuwa bila hatia kwa njia ya sheria ya Musa,+ kila mtu anayeamini anatangazwa kuwa bila hatia kwa njia ya Huyu.+