6 Lakini sasa tumefunguliwa kutoka katika Sheria,+ kwa sababu tumekufa+ kwa kile ambacho kilikuwa kimetufunga, ili tuwe watumwa+ katika maana mpya kwa roho,+ wala si katika maana ya zamani kwa njia ya sheria zilizoandikwa.+
14 na kuifuta+ kabisa ile hati iliyoandikwa kwa mkono+ kutupinga, iliyokuwa na amri+ na iliyokuwa ikitupinga sisi;+ na Yeye ameiondoa njiani kwa kuipigilia misumari+ juu ya mti wa mateso.+