Yohana 8:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 nanyi mtaijua kweli,+ nayo kweli itawaweka ninyi huru.”+ Wagalatia 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kristo alituweka huru+ tuwe na uhuru wa namna hiyo. Kwa hiyo simameni imara,+ na msijiache wenyewe kufungwa tena katika nira ya utumwa.+
5 Kristo alituweka huru+ tuwe na uhuru wa namna hiyo. Kwa hiyo simameni imara,+ na msijiache wenyewe kufungwa tena katika nira ya utumwa.+