1 Timotheo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hata hivyo, sababu iliyofanya nionyeshwe rehema+ ilikuwa kwamba kupitia mimi nikiwa ndiye wa kwanza kabisa Kristo Yesu aonyeshe ustahimilivu wake wote kuwa mfano wa wale watakaokuwa na imani+ yao kwake kwa ajili ya uzima wa milele.+ 1 Yohana 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na yeye ni dhabihu+ ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi zetu,+ lakini si kwa ajili ya zetu+ tu bali pia kwa ajili ya zile za ulimwengu wote.+ Yuda 21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 jitunzeni katika upendo wa Mungu,+ huku mkiingojea rehema+ ya Bwana wetu Yesu Kristo kwa kutazamia uzima wa milele.+
16 Hata hivyo, sababu iliyofanya nionyeshwe rehema+ ilikuwa kwamba kupitia mimi nikiwa ndiye wa kwanza kabisa Kristo Yesu aonyeshe ustahimilivu wake wote kuwa mfano wa wale watakaokuwa na imani+ yao kwake kwa ajili ya uzima wa milele.+
2 Na yeye ni dhabihu+ ya upatanisho+ kwa ajili ya dhambi zetu,+ lakini si kwa ajili ya zetu+ tu bali pia kwa ajili ya zile za ulimwengu wote.+
21 jitunzeni katika upendo wa Mungu,+ huku mkiingojea rehema+ ya Bwana wetu Yesu Kristo kwa kutazamia uzima wa milele.+