Matendo 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mungu wa mababu zetu alimfufua+ Yesu, ambaye ninyi mlimuua, kwa kumtundika mtini.+ 2 Wakorintho 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 naye alikufa kwa ajili ya wote ili wale wanaoishi wasiishi tena kwa ajili yao wenyewe,+ bali kwa ajili ya yeye+ aliyekufa kwa ajili yao na kufufuliwa.+
15 naye alikufa kwa ajili ya wote ili wale wanaoishi wasiishi tena kwa ajili yao wenyewe,+ bali kwa ajili ya yeye+ aliyekufa kwa ajili yao na kufufuliwa.+