Mika 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nao wametamani mashamba na kuyanyakua;+ nyumba pia, nao wamezichukua; nao wamempunja mwanamume na nyumba yake,+ mtu na fungu lake la urithi.+ Matendo 20:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Sikutamani fedha au dhahabu au vazi la mtu.+
2 Nao wametamani mashamba na kuyanyakua;+ nyumba pia, nao wamezichukua; nao wamempunja mwanamume na nyumba yake,+ mtu na fungu lake la urithi.+