25 Ninyi ndio wana+ wa manabii na wa agano ambalo Mungu aliagana pamoja na mababu zenu, akimwambia Abrahamu, ‘Na katika uzao wako familia zote za dunia zitabarikiwa.’+
8 “Alimpa pia agano la tohara;+ na kwa hiyo akamzaa Isaka+ na kumtahiri siku ya nane,+ na Isaka akamzaa Yakobo, na Yakobo akawazaa wale vichwa vya familia kumi na wawili.+