Mwanzo 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kisha Mungu akamwambia Abrahamu: “Usiruhusu jambo lolote ambalo Sara anazidi kukuambia liwe lisilokupendeza juu ya huyo mvulana na juu ya kijakazi wako. Sikiliza sauti yake, kwa sababu ule utakaoitwa uzao wako utakuwa kupitia Isaka.+ Waebrania 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ijapokuwa alikuwa ameambiwa: “Ule utakaoitwa ‘uzao wako’ utakuwa kupitia Isaka.”+
12 Kisha Mungu akamwambia Abrahamu: “Usiruhusu jambo lolote ambalo Sara anazidi kukuambia liwe lisilokupendeza juu ya huyo mvulana na juu ya kijakazi wako. Sikiliza sauti yake, kwa sababu ule utakaoitwa uzao wako utakuwa kupitia Isaka.+