Luka 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kila mtu anayeanguka juu ya jiwe hilo atavunjwa-vunjwa.+ Na yeyote ambaye litamwangukia,+ litamponda-ponda.”+ 1 Wakorintho 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyetundikwa mtini,+ kwa Wayahudi ni sababu ya kujikwaa+ lakini kwa mataifa ni upumbavu;+
18 Kila mtu anayeanguka juu ya jiwe hilo atavunjwa-vunjwa.+ Na yeyote ambaye litamwangukia,+ litamponda-ponda.”+
23 lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyetundikwa mtini,+ kwa Wayahudi ni sababu ya kujikwaa+ lakini kwa mataifa ni upumbavu;+