Matendo 21:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akawasalimu na kuanza kusimulia+ kirefu juu ya mambo ambayo Mungu alifanya katikati ya mataifa kupitia kwa huduma yake.+ 2 Wakorintho 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa upande wetu sisi tutajisifu, si nje ya mipaka yetu tuliyogawiwa,+ bali kulingana na mpaka wa eneo ambalo Mungu alitugawia kwa kipimio, akilifanya lifike hadi kwenu.+
19 Naye akawasalimu na kuanza kusimulia+ kirefu juu ya mambo ambayo Mungu alifanya katikati ya mataifa kupitia kwa huduma yake.+
13 Kwa upande wetu sisi tutajisifu, si nje ya mipaka yetu tuliyogawiwa,+ bali kulingana na mpaka wa eneo ambalo Mungu alitugawia kwa kipimio, akilifanya lifike hadi kwenu.+