10 Lakini kwa nini wewe unamhukumu ndugu yako?+ Au kwa nini wewe pia unamdharau ndugu yako? Kwa maana sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu+ cha Mungu;
11 Mwache kusemana wenyewe, akina ndugu.+ Yeye anayesema vibaya juu ya ndugu au anayemhukumu+ ndugu yake husema vibaya juu ya sheria na kuihukumu sheria. Na ikiwa unaihukumu sheria, basi wewe si mtendaji wa sheria, bali ni mwamuzi.+