Mathayo 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Wenye furaha ni wale wanaotambua uhitaji wao wa kiroho,+ kwa kuwa ufalme wa mbinguni ni wao.+ 1 Wakorintho 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hata hivyo, mtu wa kiroho+ huchunguza mambo yote, lakini yeye mwenyewe hachunguzwi+ na mwanadamu yeyote. Wakolosai 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hiyo ndiyo sababu sisi pia, tangu siku tuliposikia juu ya jambo hilo, hatujaacha kusali kwa ajili yenu+ na kuomba kwamba mjazwe ujuzi sahihi+ wa mapenzi yake katika hekima+ yote na utambuzi wa kiroho,+ Yuda 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hao ndio wale ambao huleta mitengano,+ watu wa kinyama,+ wasio na hali ya kiroho.+
15 Hata hivyo, mtu wa kiroho+ huchunguza mambo yote, lakini yeye mwenyewe hachunguzwi+ na mwanadamu yeyote.
9 Hiyo ndiyo sababu sisi pia, tangu siku tuliposikia juu ya jambo hilo, hatujaacha kusali kwa ajili yenu+ na kuomba kwamba mjazwe ujuzi sahihi+ wa mapenzi yake katika hekima+ yote na utambuzi wa kiroho,+