12 Ninalomaanisha ni hili, kwamba kila mmoja wenu anasema: “Mimi ni wa Paulo,” “Lakini mimi ni wa Apolo,”+ “Lakini mimi ni wa Kefa,” “Lakini mimi ni wa Kristo.”
18 Kwa maana kwanza kabisa, mnapokuja pamoja katika kutaniko, nasikia kwamba kuna migawanyiko katikati yenu;+ nami naamini jambo hilo kwa kiasi fulani.