20 Kwa kweli, katika njia hii, nilikusudia kwamba nisitangaze habari njema mahali ambapo Kristo tayari alikuwa amekwisha kutajwa jina, ili nisiwe nikijenga juu ya msingi wa mtu mwingine;+
6Kwa sababu hiyo, kwa kuwa sasa tumeliacha fundisho la msingi+ juu ya Kristo,+ na tusonge mbele kuelekea ukomavu,+ tusiweke msingi tena,+ yaani, kutubu matendo yaliyokufa,+ na imani kwa Mungu,+