Ayubu 27:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nimeishikilia haki yangu, nami sitaiachilia;+Moyo wangu hautanidhihaki kwa ajili ya yoyote ya siku zangu.+ Matendo 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Paulo akaikazia macho Sanhedrini, akasema: “Wanaume, akina ndugu, nimejiendesha mbele za Mungu kwa dhamiri+ iliyo safi kikamilifu mpaka leo hii.” Matendo 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Katika habari hii, kwa kweli, ninajizoeza mwenyewe sikuzote kudhamiria+ kutomkosea Mungu na wanadamu.
6 Nimeishikilia haki yangu, nami sitaiachilia;+Moyo wangu hautanidhihaki kwa ajili ya yoyote ya siku zangu.+
23 Paulo akaikazia macho Sanhedrini, akasema: “Wanaume, akina ndugu, nimejiendesha mbele za Mungu kwa dhamiri+ iliyo safi kikamilifu mpaka leo hii.”
16 Katika habari hii, kwa kweli, ninajizoeza mwenyewe sikuzote kudhamiria+ kutomkosea Mungu na wanadamu.