Matendo 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini Wayahudi wakafika kutoka Antiokia na Ikoniamu wakaushawishi umati,+ nao wakampiga Paulo kwa mawe na kumkokota nje ya jiji, wakiwazia alikuwa amekufa.+ Matendo 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo kuhani mkuu Anania akawaagiza wale waliosimama kando yake wampige+ kinywani. 2 Wakorintho 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa Wayahudi nilipokea mara tano mapigo 40+ kupungua moja,
19 Lakini Wayahudi wakafika kutoka Antiokia na Ikoniamu wakaushawishi umati,+ nao wakampiga Paulo kwa mawe na kumkokota nje ya jiji, wakiwazia alikuwa amekufa.+