Mwanzo 35:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Pindi moja, Israeli alipokuwa akikaa+ katika nchi hiyo, Rubeni alienda akalala na Bilha suria wa baba yake, naye Israeli akapata kusikia juu ya hilo.+ Basi Yakobo alikuwa na wana kumi na wawili. Mambo ya Walawi 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “‘Uchi wa mke wa baba yako usiufunue.+ Ni uchi wa baba yako. Kumbukumbu la Torati 22:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Mwanamume yeyote hapaswi kumchukua mke wa baba yake, asije akaufunua upindo wa nguo ya baba yake.+
22 Pindi moja, Israeli alipokuwa akikaa+ katika nchi hiyo, Rubeni alienda akalala na Bilha suria wa baba yake, naye Israeli akapata kusikia juu ya hilo.+ Basi Yakobo alikuwa na wana kumi na wawili.
30 “Mwanamume yeyote hapaswi kumchukua mke wa baba yake, asije akaufunua upindo wa nguo ya baba yake.+