4 Na Yehova akamwambia: “Pita katikati ya jiji, katikati ya Yerusalemu, nawe lazima utie alama kwenye mapaji ya uso ya watu wanaougua na kulia+ kwa sababu ya machukizo yote yanayofanywa katikati yake.”+
9 sasa ninashangilia, si kwa sababu mlihuzunishwa tu, bali kwa sababu mlihuzunishwa kufikia kutubu;+ kwa maana mlihuzunishwa kwa njia ya kimungu,+ ili msipatwe na hasara katika jambo lolote kwa sababu yetu.