Kumbukumbu la Torati 21:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 nao watawaambia wanaume wazee wa jiji lake, ‘Huyu mwana wetu ni mkaidi na mwasi; hasikilizi sauti yetu,+ ni mlafi+ na mlevi.’+ Methali 23:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Usiwe kati ya watu wanaokunywa divai mno,+ kati ya watu wanaokula nyama kwa ulafi.+ 1 Petro 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana wakati+ uliopita uliwatosha kufanya mapenzi ya mataifa+ wakati mlipotembea katika vitendo vya mwenendo mpotovu,+ uchu, divai kupita kiasi,+ karamu za kupindukia, mashindano ya kunywa, na ibada haramu za sanamu.+
20 nao watawaambia wanaume wazee wa jiji lake, ‘Huyu mwana wetu ni mkaidi na mwasi; hasikilizi sauti yetu,+ ni mlafi+ na mlevi.’+
3 Kwa maana wakati+ uliopita uliwatosha kufanya mapenzi ya mataifa+ wakati mlipotembea katika vitendo vya mwenendo mpotovu,+ uchu, divai kupita kiasi,+ karamu za kupindukia, mashindano ya kunywa, na ibada haramu za sanamu.+