Waroma 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Je, hamjui kwamba ikiwa mnaendelea kujitoa wenyewe kwa yeyote kuwa watumwa ili kumtii yeye, ninyi ni watumwa wake kwa sababu mnamtii yeye,+ ama watumwa wa dhambi+ kwa kutazamia kifo+ ama wa utii+ kwa kutazamia uadilifu?+
16 Je, hamjui kwamba ikiwa mnaendelea kujitoa wenyewe kwa yeyote kuwa watumwa ili kumtii yeye, ninyi ni watumwa wake kwa sababu mnamtii yeye,+ ama watumwa wa dhambi+ kwa kutazamia kifo+ ama wa utii+ kwa kutazamia uadilifu?+