Matendo 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Lakini Mungu alimfufua+ kwa kuyafungua maumivu makali ya kifo,+ kwa sababu haikuwezekana kiendelee kumshika.+ Waroma 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo tulizikwa+ pamoja naye kupitia ubatizo wetu katika kifo chake, ili, kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka kwa wafu kupitia utukufu wa Baba,+ vivyo hivyo sisi pia tunapaswa tutembee katika hali mpya ya uzima.+ Waefeso 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ambao kwa huo ametenda kuhusiana na Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu+ na kumketisha kwenye mkono wake wa kuume+ katika mahali pa kimbingu,+
24 Lakini Mungu alimfufua+ kwa kuyafungua maumivu makali ya kifo,+ kwa sababu haikuwezekana kiendelee kumshika.+
4 Kwa hiyo tulizikwa+ pamoja naye kupitia ubatizo wetu katika kifo chake, ili, kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka kwa wafu kupitia utukufu wa Baba,+ vivyo hivyo sisi pia tunapaswa tutembee katika hali mpya ya uzima.+
20 ambao kwa huo ametenda kuhusiana na Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu+ na kumketisha kwenye mkono wake wa kuume+ katika mahali pa kimbingu,+