Mwanzo 39:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi mwanamke huyo akamshika kwa vazi lake,+ akisema: “Lala nami!”+ Lakini akaliacha vazi lake mkononi mwake, akakimbia na kwenda nje.+ 1 Wathesalonike 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu, kwamba mtakaswe,+ kwamba mjiepushe na uasherati;+
12 Basi mwanamke huyo akamshika kwa vazi lake,+ akisema: “Lala nami!”+ Lakini akaliacha vazi lake mkononi mwake, akakimbia na kwenda nje.+