1 Wakorintho 7:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Sasa kuhusu mabikira sina amri kutoka kwa Bwana, lakini natoa maoni+ yangu nikiwa mtu aliyeonyeshwa rehema na Bwana+ kuwa mwaminifu.+ 2 Wakorintho 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Sisemi kwa kuwaamuru ninyi,+ bali ni kwa kufikiria bidii ya wengine na ili kuujaribu uhalisi wa upendo wenu.
25 Sasa kuhusu mabikira sina amri kutoka kwa Bwana, lakini natoa maoni+ yangu nikiwa mtu aliyeonyeshwa rehema na Bwana+ kuwa mwaminifu.+
8 Sisemi kwa kuwaamuru ninyi,+ bali ni kwa kufikiria bidii ya wengine na ili kuujaribu uhalisi wa upendo wenu.