Malaki 2:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na kuna mtu ambaye hakufanya hivyo, kwa vile alikuwa na baki la roho. Huyo naye alikuwa akitafuta nini? Uzao wa Mungu.+ Nanyi jilindeni kuhusiana na roho yenu,+ na yeyote asimtendee kwa hila mke wa ujana wake.+
15 Na kuna mtu ambaye hakufanya hivyo, kwa vile alikuwa na baki la roho. Huyo naye alikuwa akitafuta nini? Uzao wa Mungu.+ Nanyi jilindeni kuhusiana na roho yenu,+ na yeyote asimtendee kwa hila mke wa ujana wake.+