Matendo 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na watu fulani wakashuka kutoka Yudea+ na kuanza kuwafundisha ndugu: “Msipotahiriwa+ kulingana na desturi ya Musa,+ hamwezi kuokolewa.” Matendo 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa kuwa tumesikia kwamba baadhi ya wale waliotoka kati yetu wamewataabisha ninyi kwa maneno mengi,+ wakijaribu kupindua nafsi zenu, ijapokuwa sisi hatukuwapa maagizo yoyote,+
15 Na watu fulani wakashuka kutoka Yudea+ na kuanza kuwafundisha ndugu: “Msipotahiriwa+ kulingana na desturi ya Musa,+ hamwezi kuokolewa.”
24 Kwa kuwa tumesikia kwamba baadhi ya wale waliotoka kati yetu wamewataabisha ninyi kwa maneno mengi,+ wakijaribu kupindua nafsi zenu, ijapokuwa sisi hatukuwapa maagizo yoyote,+