1 Wakorintho 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo, ikiwa chakula kinamkwaza ndugu yangu,+ mimi sitakula nyama tena kamwe, ili nisije nikamkwaza+ ndugu yangu. 1 Wakorintho 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 haujiendeshi bila adabu,+ hautafuti faida zake wenyewe,+ hauchokozeki.+ Hauweki hesabu ya ubaya.+ Waefeso 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 na kuujua upendo wa Kristo+ ambao unazidi ujuzi, ili mjawe na ujazo+ wote ambao Mungu hutoa.
13 Kwa hiyo, ikiwa chakula kinamkwaza ndugu yangu,+ mimi sitakula nyama tena kamwe, ili nisije nikamkwaza+ ndugu yangu.