1 Wakorintho 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mambo hayo tunayasema pia, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya binadamu,+ bali kwa yale yanayofundishwa kwa roho,+ tunapounganisha mambo ya kiroho pamoja na maneno ya kiroho.+ Wagalatia 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana nawajulisha ninyi, akina ndugu, kwamba habari njema ambayo niliitangaza kuwa habari njema si jambo la kibinadamu;+
13 Mambo hayo tunayasema pia, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya binadamu,+ bali kwa yale yanayofundishwa kwa roho,+ tunapounganisha mambo ya kiroho pamoja na maneno ya kiroho.+
11 Kwa maana nawajulisha ninyi, akina ndugu, kwamba habari njema ambayo niliitangaza kuwa habari njema si jambo la kibinadamu;+