Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na ule unaobaki, Haruni na wanawe wataula.+ Utaliwa kama keki zisizo na chachu+ katika mahali patakatifu. Wataula kwenye ua wa hema la mkutano.

  • Hesabu 18:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Nanyi mtakula vitu hivyo kila mahali, ninyi na nyumba yenu, kwa sababu ni malipo yenu kwa ajili ya utumishi wenu katika hema la mkutano.+

  • Kumbukumbu la Torati 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Hakuna fungu au urithi pamoja na Israeli litakalokuja kuwa la makuhani, Walawi,+ kabila zima la Lawi. Matoleo yanayotolewa kwa njia ya moto kwa Yehova, naam, urithi wake, watayala.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki