Mambo ya Walawi 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na ule unaobaki, Haruni na wanawe wataula.+ Utaliwa kama keki zisizo na chachu+ katika mahali patakatifu. Wataula kwenye ua wa hema la mkutano. Hesabu 18:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nanyi mtakula vitu hivyo kila mahali, ninyi na nyumba yenu, kwa sababu ni malipo yenu kwa ajili ya utumishi wenu katika hema la mkutano.+ Kumbukumbu la Torati 18:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Hakuna fungu au urithi pamoja na Israeli litakalokuja kuwa la makuhani, Walawi,+ kabila zima la Lawi. Matoleo yanayotolewa kwa njia ya moto kwa Yehova, naam, urithi wake, watayala.+
16 Na ule unaobaki, Haruni na wanawe wataula.+ Utaliwa kama keki zisizo na chachu+ katika mahali patakatifu. Wataula kwenye ua wa hema la mkutano.
31 Nanyi mtakula vitu hivyo kila mahali, ninyi na nyumba yenu, kwa sababu ni malipo yenu kwa ajili ya utumishi wenu katika hema la mkutano.+
18 “Hakuna fungu au urithi pamoja na Israeli litakalokuja kuwa la makuhani, Walawi,+ kabila zima la Lawi. Matoleo yanayotolewa kwa njia ya moto kwa Yehova, naam, urithi wake, watayala.+