15 Na mimi mwenyewe pia nikawainulia mkono wangu katika kiapo nyikani,+ kwamba sitawaingiza katika nchi niliyokuwa nimeitoa, yenye kutiririka maziwa na asali,+ (hiyo ni pambo la nchi zote,)+
5 Ninataka kuwakumbusha ninyi, ingawa tayari mnajua mambo yote+ haya kwamba Yehova, ijapokuwa aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri,+ baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuonyesha imani.+