Kutoka 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Jiangalie kwa sababu yake na kuitii sauti yake. Usijiendeshe kwa kumwasi yeye, kwa maana hatawasamehe kosa lenu;+ kwa sababu jina langu limo ndani yake. Hesabu 14:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 naam, wanaume walioleta habari mbaya juu ya nchi watakufa kwa tauni mbele za Yehova.+
21 Jiangalie kwa sababu yake na kuitii sauti yake. Usijiendeshe kwa kumwasi yeye, kwa maana hatawasamehe kosa lenu;+ kwa sababu jina langu limo ndani yake.