Mwanzo 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Akamwambia mwanamke: “Nitazidisha sana maumivu ya mimba yako;+ kwa uchungu utazaa watoto,+ na tamaa yako itakuwa kwa mume wako, naye atakutawala.”+ Waefeso 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 kwa sababu mume ni kichwa cha mke+ wake kama vile Kristo pia alivyo kichwa cha kutaniko,+ yeye akiwa mwokozi wa mwili huu. 1 Petro 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Vivyo hivyo,+ ninyi wake, jitiisheni+ kwa waume zenu wenyewe, ili, ikiwa wowote si watiifu+ kwa lile neno, wavutwe+ bila neno kupitia mwenendo wa wake zao,+
16 Akamwambia mwanamke: “Nitazidisha sana maumivu ya mimba yako;+ kwa uchungu utazaa watoto,+ na tamaa yako itakuwa kwa mume wako, naye atakutawala.”+
23 kwa sababu mume ni kichwa cha mke+ wake kama vile Kristo pia alivyo kichwa cha kutaniko,+ yeye akiwa mwokozi wa mwili huu.
3 Vivyo hivyo,+ ninyi wake, jitiisheni+ kwa waume zenu wenyewe, ili, ikiwa wowote si watiifu+ kwa lile neno, wavutwe+ bila neno kupitia mwenendo wa wake zao,+