Mathayo 26:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Walipokuwa wakiendelea kula, Yesu alichukua mkate+ na, baada ya kutoa baraka, akaumega,+ akawapa wanafunzi, akasema: “Chukueni, mle. Huu unamaanisha mwili wangu.”+ Marko 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na walipokuwa wakiendelea kula, akachukua mkate, akatoa baraka, akaumega, akawapa, na kusema: “Chukueni, huu unamaanisha mwili wangu.”+
26 Walipokuwa wakiendelea kula, Yesu alichukua mkate+ na, baada ya kutoa baraka, akaumega,+ akawapa wanafunzi, akasema: “Chukueni, mle. Huu unamaanisha mwili wangu.”+
22 Na walipokuwa wakiendelea kula, akachukua mkate, akatoa baraka, akaumega, akawapa, na kusema: “Chukueni, huu unamaanisha mwili wangu.”+