39 Lakini Yesu akasema: “Msijaribu kumzuia, kwa maana hakuna yeyote atakayefanya matendo yenye nguvu kwa msingi wa jina langu ambaye ataweza kunitukana upesi-upesi;+
3 lakini kila neno lililoongozwa na roho ambalo halimkiri Yesu halitokani na Mungu.+ Zaidi ya hayo, hili ndilo neno lililoongozwa na roho la yule mpinga-Kristo ambalo mmesikia kwamba linakuja,+ na sasa tayari limo ulimwenguni.+