6 Lakini wakati huu, akina ndugu, kama ningekuja kwenu nikisema kwa lugha, ningewapa faida gani isipokuwa kama ningesema nanyi ama kwa ufunuo+ au kwa ujuzi+ au kwa unabii au kwa fundisho?
7 Hata hivyo, kama vile mnavyozidi katika kila jambo,+ katika imani na neno na ujuzi+ na bidii yote na katika upendo huu wetu kwenu, ninyi pia mzidi katika utoaji huu wenye fadhili.