4 “Na wewe, Ee Danieli, yafanye siri maneno hayo na kukifunga kitabu kwa muhuri,+ mpaka wakati wa mwisho.+ Wengi watakwenda huku na huku, na ujuzi wa kweli utakuwa mwingi.”+
51 Akazidi kumwambia: “Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Mtaona mbingu imefunguliwa na malaika+ za Mungu wakipanda na kushuka mpaka kwa Mwana wa binadamu.”+