Mathayo 22:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Akamwambia: “ ‘Lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa akili yako yote.’+ Waroma 13:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Upendo+ haumfanyii uovu jirani ya mtu;+ kwa hiyo upendo ndio utimizo wa sheria.+
37 Akamwambia: “ ‘Lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa nafsi yako yote na kwa akili yako yote.’+