5 Katika vizazi vingine siri hii+ haikujulishwa kwa wana wa binadamu kama vile ambavyo imefunuliwa+ sasa kwa mitume wake watakatifu na manabii+ kupitia roho,
2 ili mioyo yao ifarijiwe,+ ili waunganishwe pamoja kwa upatano katika upendo+ na kufikia utajiri wote wa uhakikisho kamili wa uelewaji+ wao, kufikia ujuzi sahihi wa siri takatifu ya Mungu, yaani, Kristo.+