Zaburi 110:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ataituma fimbo+ ya nguvu zako kutoka Sayuni,+ akisema:“Nenda ukitiisha katikati ya adui zako.”+ Danieli 2:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 “Na katika siku za wafalme hao,+ Mungu wa mbinguni+ atausimamisha ufalme+ ambao hautaharibiwa kamwe.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao utasimama mpaka wakati usio na kipimo;+
2 Yehova ataituma fimbo+ ya nguvu zako kutoka Sayuni,+ akisema:“Nenda ukitiisha katikati ya adui zako.”+
44 “Na katika siku za wafalme hao,+ Mungu wa mbinguni+ atausimamisha ufalme+ ambao hautaharibiwa kamwe.+ Na ufalme huo hautapewa watu wengine wowote.+ Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote,+ nao utasimama mpaka wakati usio na kipimo;+