Mwanzo 22:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini malaika wa Yehova akaanza kumwita kutoka mbinguni akisema:+ “Abrahamu, Abrahamu!” naye akajibu: “Mimi hapa!” Danieli 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kulikuwa na mto wa moto unaotiririka kutoka mbele zake.+ Kulikuwa na maelfu elfu walioendelea kumtumikia,+ na elfu kumi mara elfu kumi walioendelea kusimama mbele zake.+ Ile Mahakama+ ikaketi, na vitabu vikafunguliwa.
11 Lakini malaika wa Yehova akaanza kumwita kutoka mbinguni akisema:+ “Abrahamu, Abrahamu!” naye akajibu: “Mimi hapa!”
10 Kulikuwa na mto wa moto unaotiririka kutoka mbele zake.+ Kulikuwa na maelfu elfu walioendelea kumtumikia,+ na elfu kumi mara elfu kumi walioendelea kusimama mbele zake.+ Ile Mahakama+ ikaketi, na vitabu vikafunguliwa.