20 Kwa hiyo hakuna mwili wowote utakaotangazwa kuwa mwadilifu+ kutokana na matendo ya sheria+ mbele zake, kwa maana ujuzi sahihi juu ya dhambi ni kwa njia ya sheria.+
13 Basi, je, lililo jema lilikuja kuwa kifo kwangu? Isiwe hivyo kamwe! Lakini dhambi ilikuwa hivyo, ili ionyeshwe kuwa dhambi ndiyo inayoniletea kifo kupitia lile lililo jema;+ ili dhambi iwe dhambi zaidi kupitia amri.+