48 Kama alivyo yule aliyefanywa kwa mavumbi,+ ndivyo walivyo pia wale waliofanywa kwa mavumbi; na kama alivyo yule wa mbinguni,+ ndivyo walivyo pia wale wa mbinguni.+
21 ambaye ataufanya upya mwili wetu wa hali ya chini+ ili uwe kama mwili wake wenye utukufu+ kulingana na utendaji+ wa nguvu alizo nazo, ndiyo, kuvitiisha+ vitu vyote kwake mwenyewe.