1 Wakorintho 15:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Kwa maana huu ulio wa kuharibika lazima uvae kutoweza kuharibika,+ na huu unaoweza kufa+ lazima uvae kutoweza kufa. 1 Petro 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwenye urithi usioharibika na usiotiwa unajisi na usiofifia.+ Huo umewekwa akiba mbinguni kwa ajili yenu,+
53 Kwa maana huu ulio wa kuharibika lazima uvae kutoweza kuharibika,+ na huu unaoweza kufa+ lazima uvae kutoweza kufa.
4 kwenye urithi usioharibika na usiotiwa unajisi na usiofifia.+ Huo umewekwa akiba mbinguni kwa ajili yenu,+