2 Wakorintho 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana kwa lengo hili pia ninaandika ili kuhakikisha uthibitisho wenu, kama ninyi ni watiifu katika mambo yote.+ Waebrania 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watiini wale wanaoongoza katikati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuzilinda nafsi zenu kama wale watakaotoa hesabu;+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa kuugua, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.+
9 Kwa maana kwa lengo hili pia ninaandika ili kuhakikisha uthibitisho wenu, kama ninyi ni watiifu katika mambo yote.+
17 Watiini wale wanaoongoza katikati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuzilinda nafsi zenu kama wale watakaotoa hesabu;+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa kuugua, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.+